kutoa taarifa mapema za dalili za ugonjwa wowote ni kuokoa Maisha.
Jamii imeaswa kuwa na desturi ya kutoa taarifa mapema pindi panapotokea dalili za ugonjwa wowote ili kuokoa Maisha . Wito huo umetolewa na mwakilishi kutoka Wizara ya Afya, Elimu ya Afya kwa Umma Beauty Mwambebule baada ya kutembelea Kijiji cha Kige,kitongoji cha Kiala Wilayani Muleba Mkoani Kagera kuifariji familia ya Sifa Hamada iliyokumbwa na msiba
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed